| Wadau wa afya mkoani Shinyanga wakisikiliza taarifa iliyotolewa dhidi ya wizara ya afya huku wakilalamika kuhusiana na takwimu zinazotolewa ,ambapo wamekuwa wakitoa elimu kwa jamii jinsi ya utumiaji wa njia za kisasa za uzazi wa mpango ikiwa baadhi ya wanawake wamekuwa wakilalamika na kudai kuwa njia hizo zimekuwa zikiwaletea madhara ikiwa wataalamu hao wamesema sio kweli ni njia bora na kila mmoja ana uhuru wa kuchagua anayoipenda. |
0 Comments