Hili ndio gari lililopata ajali hivi punde.
Habari Zilizotufikia hivi punde zinaeleza kutokea kwa ajali ya bus la Simba mtoto na lori zimegongana uso kwa uso eneo la Wami ila taarifa za a hivi ali zimebainisha kuwa dereva wa lori amefariki papo hapo huku abiria wa simba mtoto baadhi yao kupatwa na majeruhi-Picha na Frank msaki
Taarifa kamili Tutakuletea ....
0 Comments