HALMASHAURI za kanda
ya ziwa zimetakiwa kuwa na akiba ya Ardhi ilikuweza kutoa fursa kwa wawekezaji
pindi wanapokuja kuwekeza katika maeneo yao ikiwa changamoto kubwa imebainika
kukosa maeneo ya kuwekeza pindi
yanapohitajika ili kuweza kunyanyua
uchumi .
0 Comments